Thursday, December 16, 2010

BORA NIFE hatimae ipo mitaani

Filamu iliyokuwa ina andaliwa na kampuni ya WHATEVER Film Production hatimaye imekamilika na sasa ipo madukani. Mkurugenzi wa kampuni hiyo bwana Hussein Mwaila alisema filamu hiyo ilianzakuwa madukani kuazia jana tarehe 15/12/2010. Moja ya wasanii walioigiza Filamu hiyo ya kuvutia ni Khadija Mohamedi aka Warda.  Blog ya Tollywood inawapa Hongera Whatever kwa kupiga hatua kubwa katika kukuza filamu nchini Tanzania. Na wewe unaesoma habari hii hakikisha unapata copy yako ya BORA NIFE original

No comments:

Post a Comment