Tuesday, December 14, 2010

CHIKI apata JIKO


Msanii wa Filamu nchini SALUMU MCHOMA maarufu kama CHIKI alifunga ndoa na kuuaga ukapela mwishoni mwa wiki iliyo pita.

Bwana Chiki alifunga ndoa nyumbani kwa wazazi wa bibi harusi Bi Zuhura na baadae harusi ilifana kwa sherehe kabambe iliyofanyika katika ukumbi wa Makuti Msasani Beach CLub. Blog Ya TollywoodLeo Inawatakia maisha mema na yenye fura Chiki na Mkewe Bi Zuhura.

No comments:

Post a Comment