Tuesday, December 14, 2010

Director Ramadhani Kingalu alalamikia waandishi

Director wa Filamu wa siku nyingi hapa mjini bwana Ramadhani Kigalu amewalalamikia waandishi wa habari wanaotafuta mabaya tu na kuyaandika na kusahau kuandika mazuri wanayo yafanya wasanii wa filamu hapa nchini. Akizungumza katika Jukwaa la sanaa linalofanyika kila siku ya jumatatu katika ukumbi wa  baraza la sanaa BASATA  bwna Rama alisema "kuna baadhi ya waandishi kazi yao kutafuta mabaya tu katika kazi zetu tukifanya mazuri hawaandiki hii inafanya kutudidimiza sana sisi wasanii kwenye Tasnia yetu"

No comments:

Post a Comment