Wednesday, December 15, 2010

GHONCHE MATEREGO AWAASA WASANII

Kusajili kazi za sanaa ni kuipa heshima Tasnia hiyo akitoa hoja hiyo katibu mtendaji wa Baraza la Sanaa nchini Bwana Ghonche Materego wakati ea kikao cha nane cha utamaduni kinachoendelea mjini mwanza bwana Ghonche alisema.ni vizuri wadau wote wa sanaa hapa nchini wakasajili kazi zao. Kusajili kutaifanya sanaa kuheshimika na kujulikana sehemu tofauti duniani na si kudharauliwa kama ilivyo sasa.

No comments:

Post a Comment