Msanii wa filamu maarufu hapa nchini bwana James Michael alitoa ushuhuda wa mafanikio yake na TASNIA ya Filamu nchini kwa ujumla mbele ya waziri wa Habari,Utamaduni,Vijana na Michezo Dkt Nchimbi katika kikao cha nane cha kazi cha utamaduni kilichofanyika mjini mwanza.
No comments:
Post a Comment