Tuesday, December 14, 2010

JOYCE KIRIA ni bibi harusi mtarajiwa

 mkurugenzi wa local movies entertainment JOYCE KIRIA ambaye pia ni mtangazaji wa clouds fm lAmeanza safari ya maandalizi ya harusi ya ke inaytarajiwa kufanyika hivi karibuni. ahabari zilizopatikana katika blog yake zinasema vikao vya kitchen party vinaendelea katika Club ya ROSTERS PUB.mikocheni. Blog ya Tollywoodleo inakupongeza Joyce kwa maamuzi ya busara maana ndoa ni tendo jema.


JOYCE KIRIA

No comments:

Post a Comment