Manguli wa Filamu nchini Tanzania Kanumba na Ray wanafunga mwaka kwa kutupa kazi zao sokoni. Huku kanumba akichomoka na UNCLE JJ, Ray yeye amedondosha Familiy Disaster. Kama haitoshi wote kwa pamoja wanaandaa Filamu nyingine iitwao OFFSIDE watakayo washirikisa Irene Uwoya.
posta ya UNCLE JJ kama inavyonekana
Kanumba na Ray Ndani ya OFFSIDE
Na Hii imeletwa kwenu kwa msaada mkubwa wa Blog ya kanumbathegreat.blogspot.com
No comments:
Post a Comment