Thursday, December 16, 2010

Kanumba na wenzake kama wafalme Kigali

iWasanii wa Filamu nchini Tanzania Kama Steven kanumba, Vicent Kigos, Ant Ezekiel na wenzao waliufunika mji wakigali kwa shangwe wakati wkiwasili na walipokuwa wakijivinjari mitaani. watu waliwafwata na kutaka kushikana nao mokono kuomba signature zao na hata kutaka kupiga picha pamoja. aaahii inaonyesha ni kwa jinsi gani fani ya uigizaji wa filamu tanzania umekuwa nje ya mipaka yetu, INAPENDEZA.



Watu akiwa hawaamini kama wanaemuona ndio KANUMBA au



Usipime hii ni ndani ya kigali

Habari hii ni kwa Hisani ya issamichuzi.blogspot.com

No comments:

Post a Comment