Tuesday, December 14, 2010

Mzee KIpara Ana SHINE kama kawa

Mzee kipara ameanza kuonekana katika shughuli mbalimbali za sanaa na anaonekana kuimarika kiafya.
Mzee Huyo ambae ni moja ya wakongwe wa sanaa ya tasnia ya maigizo na filamu alikuwa anaugua kwa muda mrefu lakini kwa sasa anaonekana kuwa na afya njema baada ya kushine katika harusi ya CHIKI msasani club. NJOO MZEE WETU TULIKUMIS SANA



Mzee kipara akionyesha some LOVE katika Harusi ya Bwana CHIKI

No comments:

Post a Comment