Tuesday, December 14, 2010

Rita Dominic ataka kuihudumia Jamii Ya KItanzania

Msanii wa Filamu Nchini Nigeria ameomba kufanya kazi za kijamii pindi atakapokuwa nchini wakati wa uzinduzi wa Shindano la Filamu hapa nchini.

Akizungumza na Jukwaa la sanaa BASATA rais wa shirikisho la Filamu nchini Bwana SIMON MWAKIFAMBA alisema wakati anawasiliana na Rita, Rita alikubali mualiko huo na kusema ni heshima kubwa amepewana jamii ya Tanzania hivyo kuirudishia fadhila alioba ahusishwe kwenye shuhguli za kijamii atakapokuwa nchini. Rita aliomba Ratiba na Kazi za kijamii. Karibu sana RITA DOMINIC TANZANIA

No comments:

Post a Comment