Tuesday, December 14, 2010

TOLLYWOODLEO "get to know everything about bongo movies"

[irene.jpg]
Malkia wa Filamu nchini Irene Uwoya


Wapenzi wa sanaa ya filamu nchini Tanzania kuazia sasa watakua wananafasi nzuri ya kujua kwa karibu habari zinazohusu tasnia hiyo hapa nchini baada ya BLOG maalum kwa ajili ya habari za tasnia hiyo kufunguliwa na mwanahabari mkereketwa wa sanaa nchini Bwana Prosper William.

Mwanahabari huyo amesema ameamua kufungua blog hiyo kutokana na kuwepo vombo na vipindi vichache sana vinavozungumzia tasnia hiyo inayopendwa sana hapa nchini. Katika Blog hiyo kutakuwa na mambo mbalimbali kuhusu wasanii, maproducer,madirector, wasambazaji, na wateja wa tasnia hiyo.

Akizungumza wakatiwa mahojiano na blog hii Bwana Prosper alisema mambo yataongelewa kiundani sana ili kuwapa watazamaji fulsa ya kuitambua tasnia hiyo kiundani na kuipenda tofauti na vyombo vingine vinavyoichukulia tasnia hiyo.

No comments:

Post a Comment