Tuesday, December 14, 2010

Filamu Ya BABU SEYA bado ipoipo

Filamu inayokwenda kwa jina la BABU SEYA imekwama kuingia sokoni kutokana na Msambazaji wa Filamu hiyo kushauri baadhi ya vitu vipunguzwe kwenye Filamu hiyo. Mratibu wa Filamu hiyo Octavias amesema bila shaka baada ya kumalizika kufanyiwa marekebisho hayo itakuwa sokoni.
Msambazaji wa Filamu Hiyo alishauri kupunguzwa baadhi ya vitu ili kuepusha matatizo pindi itakapotoka.

No comments:

Post a Comment